Nilipokea oda ya ku design stand ya viatu ya ngazi 7 inayoingia  pea 56 za viatu....  kutoka Kwa mteja wetu IRINGA. Ilipokamilika tukaisafirisha na kufika salama kwa mteja wetu.

Fancy Home Decor imekuwa ikipokea oda kutoka Kwa wadau mbalimbali walioko mikoani na hata nchi za nje ya Tanzania kama vile UK. Tumeshasafirisha furnitures zetu mikoa tofauti kama vile IRINGA, MWANZA, ARUSHA, MTWARA, MOSHI etc.....

Hivyo basi ningependa kuwataarifu wote mlioko mikoani na nje ya nchi, kuwa Fancy Home Decor inaweza kuwafikia huduma popote mlipo...Choose your product na tuta design na kukusafirishia salama popote ulipo. 

To order Call or WhatsApp # 0712 023102


0 comments:

Post a Comment

 
Top